Danieli 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi Danieli akaletwa mbele ya mfalme. Mfalme akasema na kumuuliza Danieli: “Je, wewe ndiye Danieli ambaye ni mmoja wa wahamishwa wa Yuda,+ ambao baba yangu mfalme aliwatoa Yuda?+ Danieli Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 5:13 dp 106 Danieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:13 Mnara wa Mlinzi (Funzo),10/2016, uku. 14 Unabii wa Danieli, uku. 106
13 Basi Danieli akaletwa mbele ya mfalme. Mfalme akasema na kumuuliza Danieli: “Je, wewe ndiye Danieli ambaye ni mmoja wa wahamishwa wa Yuda,+ ambao baba yangu mfalme aliwatoa Yuda?+