Hosea 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitaufanya kuwa ukiwa mzabibu+ wake na mtini+ wake, ambao amesema hivi kuuhusu: “Hizo ni zawadi zangu nilizopewa, ambazo wale wanaonipenda kwa tamaa nyingi wamenipa”; nami nitazifanya kuwa msitu,+ na mnyama wa mwituni atazila.
12 Nami nitaufanya kuwa ukiwa mzabibu+ wake na mtini+ wake, ambao amesema hivi kuuhusu: “Hizo ni zawadi zangu nilizopewa, ambazo wale wanaonipenda kwa tamaa nyingi wamenipa”; nami nitazifanya kuwa msitu,+ na mnyama wa mwituni atazila.