Amosi 4:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “ ‘Nilisababisha maangamizi kati yenu, kama maangamizi ya Mungu juu ya Sodoma na Gomora.+ Nanyi mkawa kama kipande cha mti kilichonyakuliwa kutoka motoni;+ lakini hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.
11 “ ‘Nilisababisha maangamizi kati yenu, kama maangamizi ya Mungu juu ya Sodoma na Gomora.+ Nanyi mkawa kama kipande cha mti kilichonyakuliwa kutoka motoni;+ lakini hamkurudi kwangu,’+ asema Yehova.