Zekaria 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Katika siku hiyo Yehova atakuwa ulinzi kuzunguka wakaaji wa Yerusalemu;+ na yeye anayejikwaa kati yao atakuwa katika siku hiyo kama Daudi,+ na nyumba ya Daudi kama Mungu,+ kama malaika wa Yehova mbele yao.+ Zekaria Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 12:8 w07 12/15 25 Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 12:8 Mnara wa Mlinzi,12/15/2007, uku. 25
8 Katika siku hiyo Yehova atakuwa ulinzi kuzunguka wakaaji wa Yerusalemu;+ na yeye anayejikwaa kati yao atakuwa katika siku hiyo kama Daudi,+ na nyumba ya Daudi kama Mungu,+ kama malaika wa Yehova mbele yao.+