-
Marko 2:18Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
18 Basi wanafunzi wa Yohana na Mafarisayo walizoea kufunga. Kwa hiyo wakaja wakamwambia: “Ni kwa nini wanafunzi wa Yohana na wanafunzi wa Mafarisayo huzoea kufunga, lakini wanafunzi wako hawazoei kufunga?”
-