-
Yohana 19:6Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
6 Hata hivyo, wakati makuhani wakuu na maofisa walipomwona, wakapaaza sauti, wakisema: “Mtundike mtini! Mtundike mtini!” Pilato akawaambia: “Mchukueni nyinyi wenyewe mmtundike mtini, kwa maana mimi sipati kosa lolote katika yeye.”
-