-
Matendo 19:35Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
35 Mwishowe, karani wa jiji alipokuwa ameunyamazisha umati kuwa kimya, akasema: “Wanaume wa Efeso, ni nani aliyeko kwa kweli kati ya wanadamu asiyejua kwamba jiji la Efeso ndilo mtunza-hekalu wa Artemisi mkubwa na wa sanamu iliyoanguka kutoka mbinguni?
-