-
1 Wakorintho 14:6Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
6 Lakini wakati huu, akina ndugu, ikiwa ningekuja nikisema nanyi kwa lugha, ningewafaidi nini isipokuwa kama ningesema nanyi ama kwa ufunuo au kwa ujuzi au kwa unabii au kwa fundisho fulani?
-