-
1 Wathesalonike 2:13Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
13 Kwa kweli, hiyo ndiyo sababu sisi twamshukuru Mungu pia bila kukoma, kwa sababu nyinyi mlipopokea neno la Mungu, ambalo mlilisikia kutoka kwetu, mlilikubali, si kama neno la wanadamu, bali, kama vile lilivyo kwa kweli, kama neno la Mungu, ambalo pia lafanya kazi katika nyinyi waamini.
-