Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 25
  • Uthibitisho wa Uanafunzi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Uthibitisho wa Uanafunzi
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • “Mungu ni Upendo”
    Mwimbieni Yehova
  • “Mungu Ni Upendo”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Uthibitisho wa Uanafunzi
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • “Tupendane . . . kwa Tendo na Kweli”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 25
Makala Iliyochapishwa

Wimbo Na. 25

Uthibitisho wa Uanafunzi

(Yohana 13:34, 35)

1. Tunaongozwa na sheria,

Katika maisha yetu.

Sheria kutoka mbinguni;

Ni sheria ya upendo.

Yesu Kristo kauonyesha;

Alipojitoa kufa.

Katuwekea kielelezo;

Tuige mufano wake.

2. Haushindwi upendo kamwe.

Husaidia wanyonge.

Tunalo deni la upendo;

Na kutumikia ndugu.

Hakuna pengine popote,

Penye upendo wa kweli.

Hatuna shaka hata kidogo;

Na tuonyeshe upendo.

(Ona pia Rom. 13:8; 1 Kor. 13:8; Yak. 2:8; 1 Yoh. 4:10, 11.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki