Makala Iliyochapishwa
Wimbo Na. 25
Uthibitisho wa Uanafunzi
1. Tunaongozwa na sheria,
Katika maisha yetu.
Sheria kutoka mbinguni;
Ni sheria ya upendo.
Yesu Kristo kauonyesha;
Alipojitoa kufa.
Katuwekea kielelezo;
Tuige mufano wake.
2. Haushindwi upendo kamwe.
Husaidia wanyonge.
Tunalo deni la upendo;
Na kutumikia ndugu.
Hakuna pengine popote,
Penye upendo wa kweli.
Hatuna shaka hata kidogo;
Na tuonyeshe upendo.
(Ona pia Rom. 13:8; 1 Kor. 13:8; Yak. 2:8; 1 Yoh. 4:10, 11.)