Wimbo Na. 106
Kuwa Rafiki ya Yehova
Makala Iliyochapishwa
1. Nani rafikiyo?
Akaaye kwako?
Nani ambaye wamwamini?
Nani akujua?
Washikao Neno,
Wakuaminio,
Watenda haki na walio
washikamanifu.
2. Nani awezaye
kukukaribia?
Umupendaye na ambaye
wamujua jina?
Wanaokusifu,
Wanaokutii,
Wote wa’minifu moyoni,
Wasemao kweli.
3. Twakumiminia
yaliyo moyoni.
Unatuvuta, Watupenda,
Nawe watutunza.
Rafikizo wewe,
tunataka tuwe.
Wewe ni Rafiki mukuu,
hakuna mwingine.
(Ona pia Zab. 139:1; 1 Pet. 5:6, 7.)