Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 106
  • Kuwa Rafiki ya Yehova

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuwa Rafiki ya Yehova
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Kuwa Rafiki ya Yehova
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Mungu Anataka Uwe Rafiki Yake
    Wewe Unaweza Kuwa Rafiki ya Mungu!
  • Yehova-Mtu Umjuaye Tu au Rafiki Yako?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1992
  • Kwa Nini Siwezi Kudumisha Marafiki?
    Amkeni!—1996
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 106

Wimbo Na. 106

Kuwa Rafiki ya Yehova

Makala Iliyochapishwa

(Zaburi 15)

1. Nani rafikiyo?

Akaaye kwako?

Nani ambaye wamwamini?

Nani akujua?

Washikao Neno,

Wakuaminio,

Watenda haki na walio

washikamanifu.

2. Nani awezaye

kukukaribia?

Umupendaye na ambaye

wamujua jina?

Wanaokusifu,

Wanaokutii,

Wote wa’minifu moyoni,

Wasemao kweli.

3. Twakumiminia

yaliyo moyoni.

Unatuvuta, Watupenda,

Nawe watutunza.

Rafikizo wewe,

tunataka tuwe.

Wewe ni Rafiki mukuu,

hakuna mwingine.

(Ona pia Zab. 139:1; 1 Pet. 5:6, 7.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki