Wimbo Na. 118
Karibishaneni
Makala Iliyochapishwa
1. Mwakaribishwa mikutanoni.
Musikie Neno la Mungu.
Linalowapa watu uhai;
Tunauthamini mwaliko wa Mungu.
2. Asante Mungu, kwa wachungaji,
Ndugu zetu watupendao.
Twakaribishwa nao kwa shangwe.
Sisi nasi pia twaiga mufano.
3. Wanyo’fu wote, wakaribishwa,
Waipate njia ya kweli.
Mungu na Kristo, wametuvuta.
Tukaribishane kwa moyo mweupe.
(Ona pia Yoh. 6:44; Flp. 2:29; Ufu. 22:17.)