Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 118
  • Karibishaneni

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Karibishaneni
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Karibishaneni
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • “Mkaribishane”!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Wafanye Wahisi Wamekaribishwa Kwenye Ukumbusho
    Huduma Yetu ya Ufalme—1994
  • “Mkaribishane”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1981
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 118

Wimbo Na. 118

Karibishaneni

Makala Iliyochapishwa

(Waroma 15:7)

1. Mwakaribishwa mikutanoni.

Musikie Neno la Mungu.

Linalowapa watu uhai;

Tunauthamini mwaliko wa Mungu.

2. Asante Mungu, kwa wachungaji,

Ndugu zetu watupendao.

Twakaribishwa nao kwa shangwe.

Sisi nasi pia twaiga mufano.

3. Wanyo’fu wote, wakaribishwa,

Waipate njia ya kweli.

Mungu na Kristo, wametuvuta.

Tukaribishane kwa moyo mweupe.

(Ona pia Yoh. 6:44; Flp. 2:29; Ufu. 22:17.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki