Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 6
  • Zitangaze Habari Njema za Milele

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Zitangaze Habari Njema za Milele
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Jinsi Malaika Wanavyoweza Kukusaidia
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2017
  • Habari Njema kwa Aina ya Binadamu Yote!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1990
  • Habari Njema Hizi za Ufalme Tuzihubiri
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Kwa Nini Tunapaswa Kuhofu Mungu?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1989
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 6

Wimbo 6

Zitangaze Habari Njema za Milele

(Ufunuo 14:6-8)

1. Malaika aizunguka dunia,

Akiwa nazo habari za milele.

Asema: ‘Ogopeni, sifa mupeni

Yehova; Mungu pekee abuduni.

Imefika hukumu inayotisha,

Karibu waovu kuhisi uwezo.’

Wahubiri Ufalme wasiogope

Kote tu habari njema waziseme.

2. Ni nini wa pili anatuarifu,

Mashahidi tuyashiriki halafu?

Anguko la Babeli asimulia,

Mikononi mwa Mungu kuangamia.

Tutangaze, Yehova anaagiza,

Kwa kulaumiwa atajilipiza.

Ni kubwa sana shamba tufundishako;

Lakini malaika anaongoza.

3. ‘Mwanadamu,’ malaika wake wote,

Leo hii afanya hukumu yake.

Chukieni baya! Fanyeni mazuri.

Ogopeni Mungu mushike amuri.

Wajibu tunao, Bwana anasema,

Funza kweli, ‘hubiri habari njema.’

Kwa hiyo, sisi wahudumu, twasihi,

‘Njoo abudu Yehova, ufurahi.’

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki