Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 133
  • Kupanda Mbegu za Ufalme

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kupanda Mbegu za Ufalme
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Kupanda Mbegu za Ufalme
    Mwimbieni Yehova
  • ‘Kaeni Katika Neno Langu’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2003
  • Kupanda Mbegu ya Ufalme
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • ‘Mungu Ndiye Anayeikuza’!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 133

Wimbo 133

Kupanda Mbegu za Ufalme

(Mathayo 13:4-8, 19-23)

1. Njoni, watumwa wote wa Yehova,

Muliojitoa kwake.

Fanyeni kazi aliyowapa na

Bwana wenu fuateni.

Mbegu za ukweli zienezeni

Pale palipo rutuba

Sifa kwa Mungu, mukifanya kazi

Kutimiza fungu shambani.

2. Kwenye njia mbegu zikianguka,

“Ndege” wa Shetani wala;

Udongo wa mwamba zikiendea,

Joto linazimaliza.

Wasiwasi, pupa husonga mbegu

Kabla hazijakomaa.

Lakini, nyingine zitaanguka

Katika udongo muzuri.

3. Wingi wa mbegu palipo rutuba

Wawategemea sana.

Kwa saburi, pendo, fukuza ndege,

Uyapunguze mateso.

Kwa kuwa macho ondoa miiba,

Midogo hata mikubwa.

Tumaini ni kuvuna kwa shangwe

Thelathini na hata mia.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki