Wimbo 69
Utawa Pamoja na Kuridhika
1. Ili tubarikiwe,
Na tuwe na uradhi,
Tushike Neno la Mungu,
Tukazie utawa.
Utawa una faida,
Unatulinda na dhambi.
Tupite njia ya Mungu,
Unatubidiisha.
2. Nasi tuna uradhi,
Na mipango ya Mungu:
Utumikie Mungu tu,
Tazamia Ufalme.
Tunakubali mwaliko
Wayo njia ya wokovu.
Kwa furaha, Tunangoja
Kutetewa kwa Mungu.
3. Tunashukuru Mungu,
Yeye abarikiye,
Utawa wetu katika
Siku hizi za mwisho.
Tushike ukweli wake,
Tuondoe woga wote.
Tujikaze Turidhike
Sisi kama Wakristo.