Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 43
  • Haya Mbele, Enyi Wahudumu wa Ufalme!

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Haya Mbele, Enyi Wahudumu wa Ufalme!
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Songeni Mbele, Enyi Wahudumu wa Ufalme!
    Mwimbieni Yehova
  • Songeni Mbele, Tangazeni Ufalme!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Songeni Mbele, Enyi Mashahidi!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Songeni Mbele, Enyi Mashahidi
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 43

Wimbo 43

Haya Mbele, Enyi Wahudumu wa Ufalme!

(2 Timotheo 4:5)

1. Songeni hubiri Ufalme

Kwao watu kila nchi.

Mioyo kupenda jirani,

Saidia wapole.

Kuutukuza utumishi

Tuone tunavyovaa.

Huduma yetu ya thamani;

Tutabariki Yehova.

(Korasi)

2. Wahudumu wapya songeni

Tazamieni tuzo.

Sahauni muliyoacha,

Neno ’liwape nguvu.

Na mukiwa wajumbe safi

Epukeni ulimwengu.

Yafaa wahudumu Mungu

Waache ya ulimwengu.

(Korasi)

3. Na tusonge wote pamoja,

Mabaki na “kondoo.”

Wazee, vijana na wake,

Mwambatane na kweli.

Tuna huduma takatifu

Tuiheshimu zaidi.

Wapenda kweli, ni faraja

Na heshima kwake Mungu.

(KORASI)

Songa mbele,

Hubiri Ufalme huku na huku.

Songa mbele,

Iweni upande wake Yehova.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki