Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 121
  • Ukweli Unaoweka Watu Huru

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ukweli Unaoweka Watu Huru
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • “Kweli Itawaweka Nyinyi Huru”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1998
  • Wakristo Huabudu kwa Roho na Kweli
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2002
  • Kumwiga Mungu wa Ukweli
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2003
  • Kwa Nini Utafute Kweli?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1995
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 121

Wimbo 121

Ukweli Unaoweka Watu Huru

(Yohana 8:32)

1. Torati ya Musa na unabii wa kale

Ulikuwa kivuli cha ukweli wa leo.

Ukweli unaoweka huru wa Uzao

—Jinsi kwa Yesu twaweza kupata uzima.

2. Mimi Yesu ni ‘njia, ukweli na uzima.’

Kwa damu yake alichukua dhambi zetu,

Atetee jina la Babaye ni wa kweli.

Na kushinda maadui wa Yehova sasa.

3. Kwa Mwana wa Yehova Yesu, kuna ukweli.

Kuna uhakika dhambi zote zitakwisha.

Yeye ni Uzao atukuzaye Yehova.

Nasi twatangaza ni Kuhani na Mufalme.

4. Tunahubiri juu ya Yesu kwa ukweli.

Tu tayari kuhubiri; na tuna amani.

Ufalme wa Masihi na tuutegemeze.

Tuukweze nafusi yote, wote waone.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki