Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 25
  • Vitu Vyema vya Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Vitu Vyema vya Mungu
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Mwenye Hekima Alikuwa na Maana Gani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1979
  • Bustani Nzuri
    Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
  • Kwa Nini Tupo Hapa?
    Amkeni!—2009
  • Msifuni Mfalme wa Umilele!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1996
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 25

Wimbo 25

Vitu Vyema vya Mungu

(Mhubiri 3:11)

1. Mungu alifanya

Vitu vyote vyema.

Kula, kunywa, kazi,

Ni zawadi bora.

Na pia tamaa

Kuishi milele.

Tunatumaini

Kwa sababu hiyo.

2. Mapenzi yake Yah

Kubariki watu

Wamupende sana

Zaidi zaidi.

Kwa zawadi zake

Watu watumie;

Milele milele

Atakuwa nao.

3. Kazi bora sana

Ya habari njema

Tuikamilishe;

Kwa bidii nyingi.

Hiyo ni zawadi

Inafurahisha.

Ni kazi njema we

Tuliyoagizwa.

4. Kwa hekima sote

Tutende daima

Kusudi la Mungu

Na tulitangaze.

Pendeleo hili

Na tulithamini.

Twatimiza hayo

Tupendeze Mungu.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki