Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 157
  • Mwabudu Yehova Wakati wa Ujana

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mwabudu Yehova Wakati wa Ujana
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Urithi Wenye Thamani Zaidi
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2004
  • Mwabudu Yehova Ujanani
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kuwalea Watoto Wako Wampende Yehova
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1983
  • Mahali pa Vijana Katika Jamii ya Kikristo
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1979
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 157

Wimbo 157

Mwabudu Yehova Wakati wa Ujana

(Mhubiri 12:1)

1. Watoto kasifu Mungu kale;

Wakapa Yesu vigelegele.

Wanaweza kutukuza Mungu,

Na wazee kutakasa Mungu.

2. Wazazi munaopenda kweli,

Mu wa Mungu mawakili ili

Mufunze watoto kucha Mungu.

Watoto watiini wazazi.

3. Vijana, muwe safi mwendoni;

Jifunze kutegemea Mungu.

Musitafute sifa ya watu,

Rafiki wabaya huharibu.

4. Ujanani Mungu mukumbuke,

Kwa roho, kweli mutumikie,

Mutakuja kufurahi sana,

Mufurahishe moyo wa Mungu.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki