Wimbo 101
Kuonyesha “Kundi la Mungu” Hangaikio
1. Yesu Muchungaji Mwema,
Analijali kundi.
Alitukomboa sisi.
Na tujifunze kwake.
2. Wazee ni chini yake;
Wanatunza “kondoo”.
Sharti waweke mufano
Pia kukesha sana.
3. “Lisha kondoo,” kasema
Kwao wenye upendo.
Kwa ’pole wasaidie,
Wapate kukomaa.
4. Kama kundi la umoja
Tuna baraka nyingi.
Yehova na Kristo Yesu
Hutuchunga kwa pendo.