Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 101
  • Kuonyesha “Kundi la Mungu” Hangaikio

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuonyesha “Kundi la Mungu” Hangaikio
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Kuonyesha Kupendezwa na “Kundi la Mungu”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1981
  • “Lichungeni Kundi la Mungu Lililo Chini ya Uangalizi Wenu”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Tii Wachungaji Waliowekwa na Yehova
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Wazee, Chukueni kwa Uzito Madaraka Yenu ya Uchungaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1985
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 101

Wimbo 101

Kuonyesha “Kundi la Mungu” Hangaikio

(1 Petro 5:2)

1. Yesu Muchungaji Mwema,

Analijali kundi.

Alitukomboa sisi.

Na tujifunze kwake.

2. Wazee ni chini yake;

Wanatunza “kondoo”.

Sharti waweke mufano

Pia kukesha sana.

3. “Lisha kondoo,” kasema

Kwao wenye upendo.

Kwa ’pole wasaidie,

Wapate kukomaa.

4. Kama kundi la umoja

Tuna baraka nyingi.

Yehova na Kristo Yesu

Hutuchunga kwa pendo.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki