Wimbo 46
Maandiko—Yaliongozwa na Mungu na Yenye Faida
1. Neno la Mungu nuru,
Huongoza gizani.
Ni tochi ya uhuru;
‘Litatuweka huru.’
2. Kwa Maandiko hayo,
’Mejua pendo lake.
Kuyaamini hayo,
Hupatisha uzima.
3. Mungu aliongoza,
Latufunza matakwa.
Layanyoosha mambo,
Na kutoa nidhamu.
4. La faida, la kweli,
Latoa karipio;
Mutu wa Mungu awe
Tayari na kamili.