Wimbo 79
Uumbaji Unafunua Utukufu wa Yehova
1. Yehova E, mimi ninajua,
Mbingu zinakutukuza wewe.
Muchana na usiku zasema
Zawaarifu wapole kimya.
Muchana na usiku zasema
Zawaarifu wapole kimya.
2. Umeumba mwezi, jua, nyota,
Nazo bahari umezuia.
Mutu aona uliyofanya,
Na kukusifu E Mustahili.
Mutu aona uliyofanya,
Na kukusifu E Mustahili.
3. Sheria zako, ni kamilifu.
Vikumbusho umetoa wewe.
Ili tuwe safi na hekima.
Tuzishike, daima milele!
Ili tuwe safi na hekima,
Tuzishike, daima milele!