Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 185
  • Ufufuo—Uandalizi Wenye Upendo wa Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ufufuo—Uandalizi Wenye Upendo wa Mungu
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Somo la 3
    Masomo Yangu ya Biblia
  • Kujitayarisha Kuhubiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • “Msiogope, Enyi Kundi Dogo”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1995
  • Pamoja na Kristo Katika Paradiso
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 185

Wimbo 185

Ufufuo—Uandalizi Wenye Upendo wa Mungu

(Yohana 11:25)

1. Ufufuo wa watu ni

Rehema ya Mungu,

Ni kwa kifo cha Yesu kwa

Upendo wa Mungu.

Kwanza ni wa “kundi dogo”;

Taji la uzima.

Kwa kufa waaminifu,

Wao watawala.

2. Na “wingu la mashahidi,”

Kupewa uzima.

‘Ufufuo ’lio bora’

Wameahidiwa.

“Kondoo wengine” nao

Wafao kwa sasa

’Tafufuliwa mapema

Watukuze Mungu.

3. Walio makaburini

’Tasikia Yesu

Kufurahi Paradiso,

Kama muhalifu.

Mwisho wa miaka elfu,

Jaribu la mwisho;

Wenye kuepa Shetani

Watabarikiwa.

4. “Mabaki” ya “kundi dogo,”

“Kondoo wengine,”

Ambia waliofiwa

Wataona wafu.

Zidisheni kazi Bwana

Alizoamuru.

Kifo hakiwazuii

Kuvuna thawabu.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki