Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 37
  • Kufanya Jina Zuri Pamoja na Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kufanya Jina Zuri Pamoja na Mungu
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Kujitayarisha Kuhubiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kujitayarisha Kuhubiri
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Jifanyie Jina Zuri Mbele za Mungu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Somo la 3
    Masomo Yangu ya Biblia
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 37

Wimbo 37

Kufanya Jina Zuri Pamoja na Mungu

(Mhubiri 7:1)

1. Tunatamani

Kibali ya Mungu.

Kumupendeza

Twatamani hasa.

Tunajua jina

zuri tunapaswa,

Kufanya naye,

Na tufanye.

2. Tufanye jina

Kwa neno na tendo.

Tunatamani,

Kulifanya jina.

Zuri kwake Mungu,

Tutafanya jina,

Ili tupate

Na baraka.

3. Twafanya jina

Tukitii Mungu.

Tukiwa hai,

Twatamani hilo.

Kutetea Neno

na kumutukuza

Atatufanya

Rafikize.

4. Siku ni mbovu,

Na sisi tutende,

Tufanye jina

Zuri na Yehova.

Tutende ya haki,

Tubaki nuruni

Na kuhubiri

Kwa bidii.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki