Wimbo 37
Kufanya Jina Zuri Pamoja na Mungu
1. Tunatamani
Kibali ya Mungu.
Kumupendeza
Twatamani hasa.
Tunajua jina
zuri tunapaswa,
Kufanya naye,
Na tufanye.
2. Tufanye jina
Kwa neno na tendo.
Tunatamani,
Kulifanya jina.
Zuri kwake Mungu,
Tutafanya jina,
Ili tupate
Na baraka.
3. Twafanya jina
Tukitii Mungu.
Tukiwa hai,
Twatamani hilo.
Kutetea Neno
na kumutukuza
Atatufanya
Rafikize.
4. Siku ni mbovu,
Na sisi tutende,
Tufanye jina
Zuri na Yehova.
Tutende ya haki,
Tubaki nuruni
Na kuhubiri
Kwa bidii.