Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 92
  • Hubiri kwa Ujasiri

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Hubiri kwa Ujasiri
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Mwige Yesu—Hubiri Kwa Ujasiri
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2009
  • ‘Sema Neno la Mungu kwa Ujasiri’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
  • Je, Wahubiri kwa Ujasiri?
    Huduma Yetu ya Ufalme—2000
  • Julisha Rasmi Habari Njema kwa Ujasiri
    Huduma Yetu ya Ufalme—1990
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 92

Wimbo 92

Hubiri kwa Ujasiri

(Matendo 4:13)

1. Watumishi wake Yehova,

Lazima wawe nazo nguvu.

Twapata ushujaa ndani

Ya Neno hata mahubirini.

Neno la Mungu hupa nguvu,

Na nia ya kuendelea,

Na kuwa washikamanifu.

Kama mitume tuwe ’jasiri.

2. Tunaamini kwa mioyo

Neno la Mungu ni la kweli,

Sisi hatuogopi watu;

Twaamini japo wachache tu.

Tukaze fikira kazini

Tueneze neno la Mungu.

Kwa kuhubiri kijasiri,

Yehova ni Rafiki milele.

3. Uwasaidie wanyonge,

Ili waseme kijasiri.

Usiwasahau wachanga;

Wasaidie wapate nguvu.

Wafariji wauguao,

Wote wategemee Mungu.

Ataitawala dunia

Wanadamu wamwimbie sifa.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki