Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 72
  • Zile Furaha na Matunda ya Utumishi wa Ufalme

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Zile Furaha na Matunda ya Utumishi wa Ufalme
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Kutimiza Matakwa ya Mungu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Shiriki Shangwe ya Kutoa!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2001
  • Shangwe
    Ufahamu wa Kina wa Maandiko
  • Ufurahie Utumishi Unaomtolea Yehova
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1978
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 72

Wimbo 72

Zile Furaha na Matunda ya Utumishi wa Ufalme

(Mathayo 5:12)

1. Utumishi wa Yehova, Mungu,

Una furaha nyingi sana,

Pasipo choyo tunahubiri

Ili kufariji wengine.

Yesu alituhakikishia:

Tunavuna furaha nyingi.

Tungetoa kitu bora gani

Kuliko ukweli wenye uzima.

2. Tunapohubiri milangoni

Tunadhihakiwa na watu,

Tunabaki imara kabisa

Na kushika ukamilifu.

Hata tukipatwa na mateso

Tukisema jina Yehova

Yesu alisema ni furaha,

Hali moja na manabii kale.

3. Utumishi ni wenye furaha

Kwa kufuata Bwana wetu;

Hubiri kisasi cha Yehova

Utukuze Yehova Mungu!

Tunawapa watu tumaini

La Paradiso bora sana.

Tunafurahia jambo hilo,

Uzima wa milele na milele.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki