Wimbo 78
Kusema “Lugha Safi”
1. Watu wa Mungu wanasema lugha,
Safi ya kuunganisha.
Yapendeza, yafurahisha moyo.
Matokeo ni upendo.
2. Yah hulitoa badiliko hilo
Kwa watu wanyenyekevu.
Maana wa tayari kufundisha
Wengineo waiseme.
3. Mawazo, tabia mbaya zatupwa
Wanapojifunza lugha.
Wanayasafisha maisha yao.
Za ulimwengu waacha.
4. Bega kwa bega twamutumikia.
Aongoza watu wake.
Na tunahubiri kwa lugha safi;
Tunatangaza ujumbe.