Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 211
  • Kuyashiriki Mavuno kwa Furaha

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuyashiriki Mavuno kwa Furaha
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Kuyashiriki Mavuno kwa Furaha
    Mwimbieni Yehova
  • Kuyashiriki Mavuno kwa Furaha
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kuvuna Katika “Wakati wa Mwisho”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1982
  • Endeleeni Katika Kazi ya Kuvuna!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2001
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 211

Wimbo 211

Kuyashiriki Mavuno kwa Furaha

(Mathayo 9:37, 38)

1. Huu wakati wa mavuno,

Pendeleo kubwa sana.

Malaika ni “wavunaji,”

Tunayashiriki pia.

Yesu ameanzisha mambo,

Kapanda mbegu “shambani.”

Mazao ni tayari kuvunwa;

Na tuvune kwa furaha.

2. “Ngano” ni tayari “ghalani.”

Na “magugu” yametengwa.

Wajaribu kutuzuia,

“Wanasaga” meno yao.

Watu wa Yehova kazini.

Muchana kutwa kazini.

Mavuno ya kondoo ni mengi,

Tusaidie daima.

3. Kupenda Mungu na jirani

Kunatuhimiza mbio.

Kuvuna kazi ya haraka,

Sasa wakati wa mwisho.

Tuchukue hatua sasa,

Kusaidia wengine

Furahi shambani kila siku,

Wapya watambue “ngano.”

4. Muvunaji Yesu aona,

Nafaka zimeshaiva,

Mashamba yetu ni “meupe”!

Na wengi wataka funzo!

Furaha zetu nyingi sana,

Tu washirika na Mungu.

Ni kazi ya furaha kabisa;

Tumupende na kuvuna.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki