Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 207
  • Sisi Tu Mali ya Nani?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sisi Tu Mali ya Nani?
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Sisi Ni wa Nani
    Mwimbieni Yehova
  • Sisi Ni wa Nani?
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Atakupa Nguvu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Atakupa Nguvu
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 207

Wimbo 207

Sisi Tu Mali ya Nani?

(1 Wakorintho 6:20)

1. Wewe ni wa nani?

Wamutii nani?

Huyo umwinamiaye

Huyo ndiye Bwana wako.

Shida kuabudu

Miungu wawili,

Kuwapenda kikamili wote,

Mabwana wawili.

2. Wewe ni wa nani?

Utatii nani?

Kuna mwongo na wa kweli,

Chagua, ni juu yako.

Kaisari ndiye

Utii kabisa?

Au utii Mungu wa kweli

Umutumikie?

3. Mimi ni wa nani?

Yehova n’tatii.

Nitatumikia huyo

Nifanye nadhiri yangu.

Alininunua

Siabudu watu.

Nimekombolewa kwa Mwanaye;

Sigeuki tena.

4. Sisi ni wa Mungu

Hakuna mashaka.

Alitabiri umoja

Twaona zizini mwake.

Ni mafuta juu

Kichwa cha kuhani,

Twaona uzuri kukutana

Tufunzwe ukweli.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki