Wimbo 11
Mabaki ya Kishulami
1. ’Penzi ’Shulami E, Murembo sana,
Mema ya kiroho wengi hawana.
Una neno jema, madaha mema
Nakupenda wewe, ’Shulami mwema.’
2. Ni maneno yake, Yesu Bwanake,
Amupe milele zawadi yake.
Murembo huyo, E, anajibuje,
Nao wema wake ufuatweje?
3. ‘Ibada pekee ni ghali sana.
Moto, Sheoli, pendo, hufanana.
Pendo lishindweje, halichoki we.
Wapenda kama mwali wa Yehova.’
4. “Baki” la ‘Shulami, musipotoke;
Kwa Bwana wenu muwe safi, wema.
Bikira wenzenu na wawajie
Na muthaminike mufurahie.