Wimbo 89
Kiolezo cha Kimungu cha Upendo
1. Yehova wetu Ameweka kwetu,
Kwa sote,
Kwa wote,
Kielelezo tusianguke la,
’Sianguke
’Sianguke,
Njia bora eh ashika daima,
Kwayo huita tujitahidie,
Tusiondoke, la, kamwe, la, kamwe,
Kwalo pendo;
Mungu ni pendo.
2. Kumwiga Mungu Upendo wa ndugu
‘Takuwa
na moto,
Utatufanya tusaidiane
Kwa yo yote,
Kwa yo yote.
Tuionyeshe Shauku ya kweli,
Tusaidie wengine wadumu,
Mwishowe wao wasikataliwe,
Tuonyeshe
Pendo la ndugu.
3. Yehova pendo. Tengenezo nalo
Daima,
Daima,
Latumikia Litetee yeye,
Likisifu,
Likisifu.
Tulitangaze jina kwa wengine,
Tusaidie “kondoo” waone
Ukweli, kazi ipendeze, sana.
Ndilo pendo;
Pendo la kweli.