Wimbo 40
Kufanikisha Njia Yetu
1. Yoshua aliambiwa:
‘Ushike sheria.
Ya Yehova na usome,
Kisha uishike.
Ikuongoze daima,
Na usiiache.
Nawe utafanikiwa,
Uwe na ukweli.
Nawe utafanikiwa,
Uwe na ukweli.’
2. Wafalme wa Israeli,
Walishika hili:
‘Jiandikie sheria
Ya Mungu mwenyewe,
Na lazima uisome
Maishani mwako.’
Ndipo Mungu abariki;
Maisha marefu.
Ndipo Mungu abariki;
Maisha marefu.
3. Biblia inayo njia
Matakwa ya Mungu.
Atuongoze hatua,
Atusaidie.
Mawazo yake tushike
Tujue mapenzi.
Tukizoezwa na Mungu,
Tutatii yeye.
Tukizoezwa na Mungu,
Tutatii yeye.