Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 40
  • Kufanikisha Njia Yetu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kufanikisha Njia Yetu
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Kufanikisha Maisha Yetu
    Mwimbieni Yehova
  • Kujitayarisha Kuhubiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kujitayarisha Kuhubiri
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Tuulinde Moyo Wetu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 40

Wimbo 40

Kufanikisha Njia Yetu

(Yoshua 1:8)

1. Yoshua aliambiwa:

‘Ushike sheria.

Ya Yehova na usome,

Kisha uishike.

Ikuongoze daima,

Na usiiache.

Nawe utafanikiwa,

Uwe na ukweli.

Nawe utafanikiwa,

Uwe na ukweli.’

2. Wafalme wa Israeli,

Walishika hili:

‘Jiandikie sheria

Ya Mungu mwenyewe,

Na lazima uisome

Maishani mwako.’

Ndipo Mungu abariki;

Maisha marefu.

Ndipo Mungu abariki;

Maisha marefu.

3. Biblia inayo njia

Matakwa ya Mungu.

Atuongoze hatua,

Atusaidie.

Mawazo yake tushike

Tujue mapenzi.

Tukizoezwa na Mungu,

Tutatii yeye.

Tukizoezwa na Mungu,

Tutatii yeye.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki