Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 60
  • Ufalme wa Mungu wa Miaka Elfu Moja

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ufalme wa Mungu wa Miaka Elfu Moja
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Jitayarishe kwa Milenia Yenye Maana!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1999
  • Kujipanga Kitengenezo Sasa kwa Ajili ya Miaka Elfu Itakayokuja
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1989
  • Miaka Elfu ya Faraja kwa Wanadamu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
  • Majibu ya Maswali ya Biblia
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 60

Wimbo 60

Ufalme wa Mungu wa Miaka Elfu Moja

(Ufunuo 20:4-6)

1. Elfu moja miaka imewekwa.

Ndio wakati wa Yesu kutawala.

Nao mia aroba’ na nne elfu.

Kuwa makuhani-wafalme na Yesu.

2. Watu wote watawahurumia,

Kufuta dhambi watakufurahia.

Dunia itakuwa Paradiso

Wakombolewa wote kusifu Mungu.

3. Elfu moja miaka ya Ufalme!

Tunauona uzuri kwa imani:

Watu wafu wafufuliwa hai.

Itakuwako hukumu adilifu.

4. Na tutie bidii yetu sote;

Zidi kulinda upesi yaja siku.

Tuwe nao, ujasiri, hekima,

Tuite wote waombe Mungu mara.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki