Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 9
  • Baraka ya Yehova Hutajirisha

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Baraka ya Yehova Hutajirisha
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Kumngojea Yehova
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Mtumikie Yehova kwa Moyo Wenye Kujaa Furaha
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1983
  • Sala ya Mtumishi wa Mungu
    Mwimbieni Yehova
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 9

Wimbo 9

Baraka ya Yehova Hutajirisha

(Mithali 10:22)

1. Yehova hupa baraka nyingi.

Tunapotumikia.

Furaha ni nyingi tukipanda

Mioyoni maneno.

2. Ijapo mengi mateso, chuki,

Na yote twahimili,

Rehema za Mungu twaziona,

Twakuta majaribu.

3. Tukiyatimiza tuwezayo,

Kufanya mambo mema,

Mungu ambaye ni mwaminifu,

Atapendezwa nasi.

4. Basi, sisi tuwe na bidii.

Baraka tutapata!

Na fadhili zake ’tafunua;

Haongezi huzuni.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki