Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 46
  • Maandiko—Yaliongozwa na Mungu na Yenye Faida

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Maandiko—Yaliongozwa na Mungu na Yenye Faida
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Maandiko—Yaliongozwa na Roho ya Mungu
    Mwimbieni Yehova
  • Maandiko​—⁠Yaliongozwa na Roho ya Mungu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Maandiko Yenye Pumzi ya Mungu Huleta Mafaa za Milele
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • Jinufaishe na Uwanufaishe Wengine Kwa Kutumia Neno La Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 46

Wimbo 46

Maandiko—Yaliongozwa na Mungu na Yenye Faida

(2 Timotheo 3:16, 17)

1. Neno la Mungu nuru,

Huongoza gizani.

Ni tochi ya uhuru;

‘Litatuweka huru.’

2. Kwa Maandiko hayo,

’Mejua pendo lake.

Kuyaamini hayo,

Hupatisha uzima.

3. Mungu aliongoza,

Latufunza matakwa.

Layanyoosha mambo,

Na kutoa nidhamu.

4. La faida, la kweli,

Latoa karipio;

Mutu wa Mungu awe

Tayari na kamili.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki