Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 12
  • “Mungu Hupenda Mtoaji Mwenye Furaha”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Mungu Hupenda Mtoaji Mwenye Furaha”
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • “Mungu Hupenda Mtoaji Mchangamfu”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Yehova Huwapenda Watoaji Wachangamfu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1992
  • Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutoa?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Tumwige ‘Mungu Wetu Mwenye Furaha,’ Yehova
    Huduma ya Ufalme—2006
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 12

Wimbo 12

“Mungu Hupenda Mtoaji Mwenye Furaha”

(2 Wakorintho 9:7)

1. Tutumikie Baba na pia kukumbuka

Yeye ni wa furaha na mukarimu.

Asiye na kifani alitoa Mwanaye,

Aponye aina zote za wanadamu.

2. Kutoa kwake kwema mufano tufuate.

Kutoa kwa furaha, ni nia njema.

Wakati, mali zetu vyote ni vya Yehova.

Tukimupa hivyo vyote hatupunguki.

3. Kutoa kwa furaha, kwapendeza Yehova.

Kwapamba mafundisho, pia upendo.

Thamani yake bora kutokapo moyoni;

Tuwe na furaha kuu atuokoe.

4. Kwa Mungu na kwa Yesu asante kwa furaha,

Nguvu tunatoa kwa ibada safi.

Moyo utuongoze tutoe kwa furaha

Tumupendeze Yehova tungali hai.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki