Wimbo 218
Pamoja na Kristo Katika Paradiso
1. ’Wewe utakuwa nami,
Wakati wa Paradiso.’
Ahadi hiyo yafanya
Tuamini Neno
Lake Bwana Mungu.
Inatupa tumaini
La ufufuo wa wafu.
Twajua ukweli wake.
Tunajua jinsi
Ya kupendwa naye.
2. Taraja la Paradiso
La “mukutano mukubwa.”
Na hawaogopi tena.
Neno lake Mungu
Liko wazi sana.
Sala zimwendee Mungu,
Tumuhudumu daima
Tumsifu kwa umilele,
Kwa uaminifu,
Kwa furaha nyingi.
3. “Kondoo wengine” pia
’Takuwa Paradisoni.
Wamejua maajabu
Makubwa ya Mungu!
Anayoyafanya.
Watahubiri habari.
Na wafurahishe watu.
Ndio mwendo wa hekima;
Wapate uzima,
Kwenye Paradiso.