Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 8
  • Mlo wa Jioni wa Bwana

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mlo wa Jioni wa Bwana
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Chakula cha Jioni cha Bwana
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Mlo wa Jioni wa Bwana
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Sasa Tumekuwa Mwili Mmoja
    Mwimbieni Yehova
  • Sasa Tumekuwa Mwili Mmoja
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 8

Wimbo Na. 8

Mlo wa Jioni wa Bwana

Makala Iliyochapishwa

(Mathayo 26:26-30)

1. Yehova Baba wa mbinguni,

Leo siku ya pekee!

Mwezi wa Nisani kaonyesha nguvu,

Upendo, haki, hekima.

Mwana-Kondoo aliliwa,

Israeli wakatoka.

Ba’daye Bwana kamwaga damu yake,

Na kutimiza unabii.

2. Mbele zako tumekutana,

Tukiwa kondoo zako.

Tukusifu wewe kwa upendo wako,

Tuheshimu jina lako.

Tuzingatie Ukumbusho,

Moyoni, na akilini.

Tufuate hatua za Kristo Yesu,

Kisha uzima wa milele.

(Ona pia Luka 22:14-20; 1 Kor. 11:23-26.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki