Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 131
  • Yehova Huokoa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Huokoa
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova Huokoa
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Yehova, Mwandalizi wa Wokovu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Nipe Ujasiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Tutaokokaje?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1981
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 131

Wimbo Na. 131

Yehova Huokoa

Makala Iliyochapishwa

(2 Samweli 22:1-8)

1. Mungu wetu uliye hai, Yehova.

Kazi zako kuu, dunia na mbingu.

Hakuna Mungu kama wewe hasha—hakuna.

Wakujue wewe.

(KORASI)

Yehova huokoa wa’minifu.

Wamwone kuwa Mungu wa nguvu nyingi.

Kwa bidii na ujasiri sisi sote,

Twatangaza jina kuu lake Yehova.

2. Japo kuna kifo, nakutegemea,

“Yehova unipe, ujasiri, nguvu.”

Toka hekalu lako, usikie, ‘Nifiche,

Niokoe, Mungu.’

(KORASI)

Yehova huokoa wa’minifu.

Wamwone kuwa Mungu wa nguvu nyingi.

Kwa bidii na ujasiri sisi sote,

Twatangaza jina kuu lake Yehova.

3. Utakaponguruma kutoka juu.

Maadui wako, waingiwe hofu.

Wakutumikiao, wafurahi. Wajue

U mwokozi wetu.

(KORASI)

Yehova huokoa wa’minifu.

Wamwone kuwa Mungu wa nguvu nyingi.

Kwa bidii na ujasiri sisi sote,

Twatangaza jina kuu lake Yehova.

(Ona pia Zab. 18:1, 2; 144:1, 2.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki