Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 23
    Huduma ya Ufalme—2011 | Mei
    • Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 23

      JUMA LINALOANZA MEI 23

      Wimbo 39 na Sala

      □ Funzo la Biblia la Kutaniko:

      bt sura ya 4, sanduku kwenye uku. 33 (Dak. 25)

      □ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

      Usomaji wa Biblia: Zaburi 19-25 (Dak. 10)

      Na. 1: Zaburi 23:1–24:10 (Isizidi dak. 4)

      Na. 2: Je, Wayahudi Wote Watageuzwa Wamwamini Kristo?—rs uku. 411 ¶3-4) (Dak. 5)

      Na. 3: Andiko la Waroma 8:21 Litatimizwa Lini na kwa Njia Gani? (Dak. 5)

      □ Mkutano wa Utumishi:

      Wimbo 78

      Dak. 10: Matangazo. “Jinsi ya Kutumia Fomu ya Tafadhali Fuatia Upendezi (S-43).” Mazungumzo.

      Dak. 10: Mambo Matatu ya Kuzingatia Ili Kuwa na Utangulizi Mzuri. Hotuba inayotegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 9, fungu la 1. Baada ya kuzungumzia habari hii, panga maonyesho mawili yanayoonyesha utangulizi mzuri wa toleo la Juni.

      Dak. 15: Je, Umejaribu Kufuata Madokezo ya Huduma Yetu ya Ufalme? Mazungumzo. Zungumzia kifupi habari kutoka katika makala hizi za karibuni za Huduma Yetu ya Ufalme: “Itumie Vizuri” na “Mfululizo Mpya wa Kutusaidia Kuanzisha Mafunzo ya Biblia” (km 12/10) na pia “Msaada kwa Familia” (km 1/11). Waombe wasikilizaji waeleze jinsi ambavyo wamejaribu kutumia madokezo katika makala hizo na jinsi ambavyo wamenufaika.

      Wimbo 56 na Sala

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 30
    Huduma ya Ufalme—2011 | Mei
    • Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 30

      JUMA LINALOANZA MEI 30

      Wimbo 33 na Sala

      □ Funzo la Biblia la Kutaniko:

      bt sura ya 4 ¶5-12 (Dak. 25)

      □ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

      Usomaji wa Biblia: Zaburi 26-33 (Dak. 10)

      Na. 1: Zaburi 31:9-24 (Isizidi dak.4)

      Na. 2: Mifano ya Unyenyekevu wa Kweli Katika Biblia (5 Dak.)

      Na. 3: Je, Wayahudi Wanapaswa Kumwamini Yesu Kristo ili Waokolewe?—rs uku. 412 ¶1-2) (Dak. 5)

      □ Mkutano wa Utumishi:

      Wimbo 38

      Dak. 10: Matangazo. Panga onyesho la jinsi funzo linavyoweza kuanzishwa katika Jumamosi ya kwanza ya mwezi wa Juni, kwa kutumia pendekezo lililo katika ukurasa wa 4. Watie moyo wote washiriki utumishi Jumamosi hiyo.

      Dak. 15: Jinsi ya Kufanya Utafiti. Mazungumzo yanayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 33-38. Tia ndani onyesho fupi la mhubiri anayejizungumzia jukwaani. Mhubiri huyo anatumia vifaa vya kufanya utafiti ili kupata jibu la swali aliloulizwa katika huduma.

      Dak. 10: Jitayarishe Kutoa Magazeti Katika Mwezi wa Juni. Mazungumzo. Tumia dakika moja au mbili kupitia baadhi ya habari zilizomo katika magazeti ya karibuni. Kisha chagua makala mbili au tatu, na uwaombe wasikilizaji wapendekeze maswali na maandiko yanayoweza kutumiwa wakati wa kutoa magazeti. Panga maonyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.

      Wimbo 113 na Sala

  • Jinsi ya Kutumia Fomu ya Tafadhali Fuatia Upendezi (S-43)
    Huduma ya Ufalme—2011 | Mei
    • Jinsi ya Kutumia Fomu ya Tafadhali Fuatia Upendezi (S-43)

      Unapaswa kujaza fomu hii unapompata mtu anayependezwa lakini haishi katika eneo lenu au anazungumza lugha ya kigeni. Ijapokuwa hapo awali tuliitumia tulipowapata watu wanaozungumza lugha ya kigeni iwe wanapendezwa au la, sasa tutaitumia tu mtu anapoonyesha upendezi. Lakini, mambo ni tofauti tunapompata mtu aliye kiziwi. Tunapaswa kujaza fomu ya S-43 tunapompata kiziwi, iwe anaonyesha upendezi au la.

      Tunapaswa kufanya nini baada ya kujaza fomu ya S-43? Tunapaswa kumpa mwandishi wa kutaniko. Ikiwa anajua kutaniko la kuituma, anaweza kuwatumia wazee wa kutaniko hilo ili wafanye mipango inayofaa ya kumsaidia mtu aliyeonyesha upendezi. Ikiwa hajui kutaniko linalohusika, basi ataituma fomu hiyo kwenye ofisi ya tawi.

      Iwapo mtu aliyeonyesha upendezi anazungumza lugha ya kigeni na anaishi katika eneo lenu, unaweza kuendelea kumtembelea ili kudumisha upendezi hadi mhubiri aliye katika kutaniko linalozungumza lugha yake atakapomtembelea.—Ona Huduma Yetu ya Ufalme ya Novemba 2009, ukurasa wa 4.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki