Wimbo Na. 108
Msifuni Yehova kwa Sababu ya Ufalme Wake
Makala Iliyochapishwa
1. Yehova amemuweka,
Mwanaye atawale.
Ana haki ya kutawala,
Mapenzi yatatendeka.
(KORASI)
Enyi Kondoo, Musifuni
Yehova na Kristo Yesu,
Mufuateni siku kwa siku,
na kumutii yeye.
Musifuni Yah kwa Mufalme,
mutiwa-mafuta wake,
Atakayelitukuza jina
la Mungu takatifu.
2. Mungu amewachagua,
Ndugu za Kristo Yesu.
Watawale pamoja naye,
Na kuleta Paradiso.
(KORASI)
Enyi Kondoo, Musifuni
Yehova na Kristo Yesu,
Mufuateni siku kwa siku,
na kumutii yeye.
Musifuni Yah kwa Mufalme,
mutiwa-mafuta wake,
Atakayelitukuza jina
la Mungu takatifu.
(Ona pia Met. 29:4; Isa. 66:7, 8; Yoh. 10:4; Ufu. 5:9, 10.)