Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 108
  • Msifuni Yehova kwa Sababu ya Ufalme Wake

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Msifuni Yehova kwa Sababu ya Ufalme Wake
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Msifuni Yah kwa Mwana Wake Mtiwa Mafuta
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Msifu Yah Pamoja Nami
    Mwimbieni Yehova
  • Msifu Yah Pamoja Nami
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Tutaenda Pamoja Nanyi
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2020
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 108

Wimbo Na. 108

Msifuni Yehova kwa Sababu ya Ufalme Wake

Makala Iliyochapishwa

(Ufunuo 21:2)

1. Yehova amemuweka,

Mwanaye atawale.

Ana haki ya kutawala,

Mapenzi yatatendeka.

(KORASI)

Enyi Kondoo, Musifuni

Yehova na Kristo Yesu,

Mufuateni siku kwa siku,

na kumutii yeye.

Musifuni Yah kwa Mufalme,

mutiwa-mafuta wake,

Atakayelitukuza jina

la Mungu takatifu.

2. Mungu amewachagua,

Ndugu za Kristo Yesu.

Watawale pamoja naye,

Na kuleta Paradiso.

(KORASI)

Enyi Kondoo, Musifuni

Yehova na Kristo Yesu,

Mufuateni siku kwa siku,

na kumutii yeye.

Musifuni Yah kwa Mufalme,

mutiwa-mafuta wake,

Atakayelitukuza jina

la Mungu takatifu.

(Ona pia Met. 29:4; Isa. 66:7, 8; Yoh. 10:4; Ufu. 5:9, 10.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki