Wimbo Na. 46
Yehova Ni Mfalme Wetu!
1. Mushangilieni Yehova.
Mbingu na dunia zamutukuza.
Nyimbo za shangwe na tumwimbie Mungu.
Kazi zake tutafakari.
(KORASI)
Mbingu zifurahi, na dunia pia,
Sasa Yehova ni mufalme!
Mbingu zifurahi, na dunia pia,
Sasa Yehova ni Mufalme!
2. Tangaza utukufu wake.
Matendo yake ya nguvu tangaza.
Astahili sifa, Yehova Mufalme,
Mbele zake tunainama.
(KORASI)
Mbingu zifurahi, na dunia pia,
Sasa Yehova ni mufalme!
Mbingu zifurahi, na dunia pia,
Sasa Yehova ni Mufalme!
3. Yah anatawala kwa haki.
Amemutawaza Kristo Mwanaye.
Miungu yote imwinamie yeye,
Kwa kuwa astahili sifa.
(KORASI)
Mbingu zifurahi, na dunia pia,
Sasa Yehova ni mufalme!
Mbingu zifurahi, na dunia pia,
Sasa Yehova ni Mufalme!
(Ona pia 1 Nya. 16:9; Zab. 68:20; 97:6, 7.)