Wimbo Na. 84
‘Nataka’
Makala Iliyochapishwa
1. Kwa ’pendo Mwana wa Mungu,
Kashuka toka mbinguni.
Awafunze watu kweli ya Mungu,
Daima alihubiri.
Na watu alifariji,
Wagonjwa akawaponya.
Kazi yake akaitimiza.
Na alisema:
‘Nataka.’
2. Mungu alitupatia
Mutumwa mwenye busara
Tutumike naye, atuongoze,
Wapole waokolewe.
Wataona waziwazi
Ya kwamba tunawapenda.
Wajane nao yatima pia,
Uwaambie:
‘Nataka.’
(Ona pia Yoh. 18:37; Efe. 3:19; Flp. 2:7.)