Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 114
  • Kitabu cha Mungu Ni Hazina

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kitabu cha Mungu Ni Hazina
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Kitabu cha Mungu Ni Hazina
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kitabu cha Mungu Mwenyewe—Hazina
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Shukrani kwa Ajili ya Subira ya Kimungu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Mtafute Mungu Upate Ukombozi
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 114

Wimbo Na. 114

Kitabu cha Mungu Ni Hazina

Makala Iliyochapishwa

(Methali 2:1)

1. Kuna kitabu kinacholetea,

Watu amani na tumaini.

Mawazo yake yana nguvu nyingi;

Kinafumbua macho ya watu.

Ni Biblia takatifu ya Mungu.

Iliandikwa kale na watu.

Waliomupenda Yehova sana,

Walichochewa na roho yake.

2. Waliandika kuhusu ’umbaji,

Ulimwengu ulivyotokea.

Ukamilifu wa mutu mwanzoni,

Paradiso ilivyopotea.

Pia kuhusu malaika ’moja

Ambaye kapinga enzi kuu.

Kisha dhambi, huzuni katokea,

Ushindi wa Yah waja upesi.

3. Leo twaishi pindi ya pekee.

Ufalme wa Mungu watawala.

Leo Yehova huwapa wokovu

Wote wanaomwendea Yeye.

Biblia inazo habari njema;

Ni chakula tele cha kiroho.

Huwapa watu wote tumaini;

Hiyo ni hazina kwelikweli.

(Ona pia 2 Tim. 3:16; 2 Pet. 1:21.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki