Wimbo Na. 30
Yehova Aanza Kutawala
1. Ni siku ya Yehova, Ufalme watawala.
Kaweka Jiwe Kuu Sayuni.
Wote washangilie. Yehova wamwimbie.
Bwana Kristo ameanza kutawala.
(KORASI)
Utaleta nini Ufalme?
Kweli haki zitashinda.
Utaleta nini kingine?
Uzima na shangwe tele.
Sifu Mwenye Enzi Kuu,
Kwa fadhili-upendo.
2. Kristo anatawala, Har-Magedoni yaja.
Mufumo wa kale utapita.
Sasa ndio wakati wa kuhubiri kote.
Wapole wamutii Yehova Mungu.
(KORASI)
Utaleta nini Ufalme?
Kweli haki zitashinda.
Utaleta nini kingine?
Uzima na shangwe tele.
Sifu Mwenye Enzi Kuu,
Kwa fadhili-upendo.
3. Mufalme wa Yehova; Mwenye fahari kubwa.
Kwa jina la Mungu anakuja.
Ingia malangoni ya hekalu tukufu,
Hivi punde vyote atavitawala.
(KORASI)
Utaleta nini Ufalme?
Kweli haki zitashinda.
Utaleta nini kingine?
Uzima na shangwe tele.
Sifu Mwenye Enzi Kuu,
Kwa fadhili-upendo.
(Ona pia 2 Sam. 7:22; Dan. 2:44; Ufu. 7:15.)