Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 10
  • “Mimi Hapa! Nitume Mimi”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Mimi Hapa! Nitume Mimi”
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • “Mimi Hapa! Nitume Mimi! ”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • “Mimi Hapa, Nitume Mimi”
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Uzima wa Milele​—⁠Hatimaye!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kujitayarisha Kuhubiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 10

Wimbo Na. 10

“Mimi Hapa! Nitume Mimi”

Makala Iliyochapishwa

(Isaya 6:8)

1. Leo watu hulisuta,

Jina zuri lake Mungu.

Wasema “Hakuna Mungu!”

Eti Mungu ni dhaifu.

Nani atamutetea?

Nani atamupa sifa?

‘Bwana, Mimi hapa! N’tume.

Sifa zako Nikwimbie.

(KORASI)

Ni pendeleo kubwa sana.

Bwana nitume mimi.’

2. Wadai anakawia;

Hawamuogopi Mungu.

Sanamu huziabudu;

Kaisari wamwabudu.

Nani atamwonya mwovu,

Kuhusu vita ya Mungu?

‘Bwana, Mimi hapa! N’tume.

Nitawaonya waovu.

(KORASI)

Ni pendeleo kubwa sana.

Bwana nitume mimi.’

3. Wapole wanaugua,

Mbona maovu yazidi.

Kwa unyofu watafuta

Ukweli wenye amani.

Nani atawafariji?

Waone uadilifu?

‘Bwana Mimi hapa! N’tume.

Nitawafunza wapole.

(KORASI)

Ni pendeleo kubwa sana.

Bwana nitume mimi.’

(Ona pia Zab. 10:4; Eze. 9:4.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki