SEHEMU YA NNE
“Nitalitetea Jina Langu Takatifu Kwa Bidii”—Ibada Safi Yaokoka Shambulizi
WAZO KUU: Yehova awalinda watu wake wakati wa dhiki kuu
Yehova anawapenda watu, lakini pia tunawajibika mbele zake kwa ajili ya matendo yetu. Anahisije kuhusu wale wanaodai kwamba wanamwabudu lakini wanatenda tofauti? Atatumia njia gani kuamua wale watakaookoka dhiki kuu? Na kwa nini Yehova, Mungu mwenye upendo, atawaangamiza mamilioni ya watu waovu?