WIMBO NA. 140
Uzima wa Milele—Hatimaye!
Makala Iliyochapishwa
1. Wazia watu wote,
Wakiishi pamoja!
Kwa amani na shangwe!
Bila maumivu!
(KORASI)
Imba kwa furaha!
Waweza kuwapo.
Na mwishowe upate,
Uzima milele!
2. Wazia siku hizo,
Wote wawe vijana.
Bila shida, machozi
Wala woga kamwe.
(KORASI)
Imba kwa furaha!
Waweza kuwapo.
Na mwishowe upate,
Uzima milele!
3. Tusifu Mungu wetu
Kwa paradiso hiyo.
Kila siku, tuseme
“Asante Yehova! ”
(KORASI)
Imba kwa furaha!
Waweza kuwapo.
Na mwishowe upate,
Uzima milele!
(Ona pia Ayu. 33:25; Zab. 72:7; Ufu. 21:4.)