Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 108
  • Upendo Mshikamanifu wa Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Upendo Mshikamanifu wa Mungu
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Upendo Mshikamanifu wa Mungu
    Mwimbieni Yehova
  • Upendo Mshikamanifu wa Mungu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Upendo Mshikamanifu wa Yehova Unamaanisha Nini Kwako?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2021
  • Yehova Anashangilia Katika Upendo Mshikamanifu—Namna Gani Wewe?
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2017
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 108

WIMBO NA. 108

Upendo Mshikamanifu wa Mungu

Makala Iliyochapishwa

(Isaya 55:1-3)

  1. 1. Mungu ni upendo!

    Kasukumwa na upendo,

    Akamtuma Mwanaye,

    Afe kwa ajili yetu,

    Ili tuwe wa’dilifu,

    Na tupate tumaini.

    (KORASI)

    Ee! Nyote wenye kiu,

    Njo’ni myanywe maji.

    Ndiyo, njo’ni muone,

    Fadhili za Mungu.

  2. 2. Mungu ni upendo!

    Kazi zake zaonyesha.

    Katuonyesha upendo,

    Kwa kumtawaza Kristo

    Alitimize agano.

    Ufalme umezaliwa.

    (KORASI)

    Ee! Nyote wenye kiu,

    Njo’ni myanywe maji.

    Ndiyo, njo’ni muone,

    Fadhili za Mungu.

  3. 3. Mungu ni upendo!

    Nao upendo wa Mungu,

    Utuchochee tupende.

    Tusaidie wapole,

    Bila woga tuhubiri,

    Watu wote tufariji.

    (KORASI)

    Ee! Nyote wenye kiu,

    Njo’ni myanywe maji.

    Ndiyo, njo’ni muone,

    Fadhili za Mungu.

(Ona pia Zab. 33:5; 57:10; Efe. 1:7.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki