Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • scl uku. 54
  • Mahangaiko

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mahangaiko
  • Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
Maandiko kwa Ajili ya Maisha ya Mkristo
scl uku. 54

Mahangaiko

Je, una mahangaiko kwa sababu ya matatizo kama vile, umaskini, njaa, au kukosa mahali pa kuishi?

Met 10:15; 19:7; 30:8

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • Omb 3:19—Baada ya uharibifu wa Yerusalemu, nabii Yeremia na Waisraeli wenzake wengi hawakuwa na mahali pa kuishi

    • 2Ko 8:​1, 2; 11:27—Umaskini wa kupindukia unawaathiri Wakristo huko Makedonia, na mara nyingi mtume Paulo anakosa chakula, mavazi, na mahali pa kuishi

  • Maandiko yenye kufariji:

    • Zb 37:25; 145:15; Met 10:3; Mt 6:​25-34

    • Tazama pia Kum 24:19

Je, una mahangaiko kwa sababu unaogopa kukosa marafiki, kuwa mpweke, au kutopendwa?

Ayu 19:19; Mhu 4:​10, 12

  • Masimulizi ya Biblia yanayohusika:

    • 1Fa 18:22; 19:​9, 10—Nabii Eliya anahisi kwamba yeye peke yake ndiye mtumishi mwaminifu wa Yehova aliyebaki

    • Yer 15:​16-21—Nabii Yeremia anahisi upweke kwa sababu watu wanaomzunguka wanakazia fikira zaidi starehe na kupuuza ujumbe wa Yehova

  • Maandiko yenye kufariji:

    • Zb 25:​15, 16; 1Pe 5:7

  • Masimulizi ya Biblia yenye kufariji:

    • 1Fa 19:​1-19—Yehova anampatia nabii Eliya msaada hususa, anasikiliza mahangaiko yake kwa subira, na anamtia moyo kwa kumwonyesha waziwazi nguvu Zake

    • Yoh 16:​32, 33—Yesu anajua kwamba rafiki zake watamwacha, lakini pia anajua kwamba kwa kweli hayuko peke yake

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki